Mwanadamu Aliyeumbwa Na Mungu

hft swahili 2022
Hope for Today (Swahili)
Mwanadamu Aliyeumbwa Na Mungu
Loading
/
Zaburi 8

Hujambo na katibu tujifunze neno la mungu pamoja leo twajifunza kutoka zaburi ya 8 Jina langu ni david mungai. Karibu winbo alafu tuendelee

Naam karibu tena somo letu la leo limetolewa kutoka zaburi ya 8 mwanadamu aliyeumbwa na mungu
Zaburi hii yauliza mst wa 4 mutu ni kitu gani hata ukumbuke

Sisi ni wa maana sana kwa sababu tulubwa na mwenyezi mungu tena tuliumbwa kwa njuia ya kuogofya na ya kutishwa

Tusome zaburi hii ya nane

1 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote,+
Wewe ambaye utukufu wako unasimuliwa juu ya mbingu!+

2 Kutoka katika kinywa cha watoto na wanaonyonya umeiweka misingi ya nguvu,+
Kwa sababu ya wale wanaokuonyesha uadui,+
Ili kumkomesha adui na yule anayejilipizia kisasi.+

3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+
Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+

4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+
Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+

5 Pia ulimfanya mdogo kidogo kuliko wale walio kama Mungu,+
Kisha ulimvika taji+ la utukufu+ na fahari.

6 Unamfanya atawale juu ya kazi za mikono yako;+
Kila kitu umekiweka chini ya miguu yake:+

7 Kondoo na mbuzi na ng’ombe, wote hao,+
Na pia wanyama wa porini,+

8 Ndege wa mbinguni na samaki wa baharini,+
Kitu chochote kinachopita katika njia za baharini.+

9 Ee Yehova Bwana wetu, jina lako ni lenye utukufu kama nini katika dunia yote!+

Katika zaburi hii daudi ashangazwa na ukuu wa mungu na vile huwatumia wanyonge na wadhahifu kama watoto kwa utukufu wake na kuwafurusha walio na nguvu ningi ulimwenguni humu na Zaidi ashangazwa na vile amewachia mwanadamu mamlaka juu ya viumbe vingnr vyote na kumaliza kwa shukrani kushukuru na kumtukuza mungu na kuonyesha ya kwaba mungu ndiye bwana na mmwenye mamlaka katika mambo yote na juu ya yote

Milele mungu weti katika kristo ndiye mwenyezi na mwenyenguvu zote na ana mamlaka juu yote nasoma tena mstaro wa pili na wa tatu

2 Kutoka katika kinywa cha watoto na wanaonyonya umeiweka misingi ya nguvu,+
Kwa sababu ya wale wanaokuonyesha uadui,+
Ili kumkomesha adui na yule anayejilipizia kisasi.+

3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+
Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+

Hebu tafuta wakati jiangalie kwa kioo waona vile mungu alivyokuumba kwa njia ya kuogofya na kutisha

Angalia hayo yote yanayokuzingira ukiyatafakari hayo, bilashaka utakubaliana na mwandishi wa zabuti hii kwamba mungu ni mwenye enzi

Zaidi sana katika kristo yesu anayemwamini huyu yesu mwenyezi mungu ametupatia uwezo wakuwa wana wake na tuwarithi wa uzima wa milele na milele na titatawala na bwana weti yesu kristo katika utawala wake na baadaye utaishi naye mbinguni. Yerusalemu mpya

Receive Weekly Encouragement

Sign-up to get a sermon straight to your inbox on a weekly basis!